Safari ilianza Lindi vijjini, Masasi tukamalizia na Ruangwa...picha hizi zimekaa kwa mtiririko huo. |
Njonjo-Lindi Rural |
Ruhokwe-Lindi rural |
Kilangala-Obadia na wenzake....good house
Mchinga-Lindi
Narunyu-Lindi Rural
Luwale-Lindi Rural
Nyengedi-wapo kumi hapa.....
Mtama- Mihogoni, Majengo A&B, Makonde
Nyangao-hawa wanaishi kama wako home
Nanganga-Masasi...hawa washakuwa Ma Dr wa mifugo
Ndanda Mission-Hapa ni kama uzunguni
Mwena- hawa jamaa hawana shida ya maji
Chiwata-Yasin na wenzie wapo hapa
Mpindimbi
Mtandi
Lulindi
Chiungutwa
Nanjota
Mumbaka
Mlingula
Namajani
Namatutwe
Mpanyani- Hapa ni mbali kweli kweli..
Lukuledi-Masasi
Temeke-Uncle yupo hapa
Kitandi-Ruangwa
Mandarawe na Nachinyimba-hawa wanapiga kazi kwelikweli
Liuguru- hawa walikumbana na majaribu ya wachawi
Chunyu-Tego na wenzie wapo hapa
Mmawa- Hawa jamaa wapo fiti kwenye mifugo
Likunja-Rwegasira na wenzie wapo hapa
Nkowe-Lucy Lubuva na wenzie wako hapa
Chienjere- Hapa ni cone belt...mahindi kibao
Namahema na Nandagala-Ruangwa
Mtimbila-Kuboja na wenzie wapo hapa
Michenga-hapa tulifika jioni sana
Nangumbu-Ruangwa
Mtakuja- na kweli tulifika...Joy yupo hapa
Hapa ni Mbecha kwa kina Manjanjagara
Luchelegwa-Ayoub mzee wa English yupo hapa
Chinongwe-Almas., Alphonse wapo hapa
It was very interesting journey..we shared a lot with our students and their supervisors...may god bless us all...Thank you very much...we arrived home safelly.
No comments:
Post a Comment