Pages

Thursday, November 29, 2012

Polisi waua Raia Dar

                                   
 
Kijana mmoja huko Tegeta amepigwa risasi ya moto na kufariki na wengine kujeruhiwa vibaya sana baada ya polisi kurusha risasi hiyo wakiwa kwenye operesheni ya kuondoa magari yanayopaki barabarani.
Kijana huyo alikuwa kwenye duka la magodoro akifanya manunuzi.
 
Chanzo: Jamii Forum

No comments:

Post a Comment