Askari polisi Iringa wakimburuza mfuasi wa Chadema Nyololo wilaya ya Mufindi kabla ya kumuua Daudi Mwangosi kwa bomu ,huku askari kulia akikimbia na skafu ya kada wa Chadema sasa sijui walimrudishia ama lah?Hiki ndicho kikosi kilichoshiriki kuondoa uhai wa mwanahabari Daudi Mwangosi katika kijiji cha Nyololo wilaya ya Mufindi mkoani Iringa.
Source: Francis godwin Blog
No comments:
Post a Comment