Breaking Nuz...Mtu mmoja achunwa ngozi huko Iringa
Habari Kutoka IRINGA zinadai kuwa eneo la njiapanda ya Mlolo kuelekea Tanangozi kuna mtu kauwawa na kuchunwa ngozi. Taarifa zaidi juu ya tukio hilo fuatilia blog hii ama blog ya Fracis godwin (Mzee wa Matukio)
No comments:
Post a Comment