Pages

Wednesday, August 8, 2012

Taswira siku ya kilele ya maonesho ya nane nane kanda ya kusini

Mh Simbakalia akipata maelezo ya kilimo hifadhi kutoka kwa mtaalamu wa kilimo hicho Mwalimu Nandala wa chuo cha kilimo Mati-Mtwara 
Mgeni Rasmi mkuu wa mkoa wa mtwara Mh Simbakalia akisalimiana na wenyeji kabla ya kuanza kukagua mabanda.
 
Mheshimiwa Simbakalia akipata maelezo ya drip irrigation kutoka kwa mwalimu siame wa Mati-Mtwara 


                                       

No comments:

Post a Comment