Pages

Friday, October 12, 2012

Vice Presdnt Joe Biden amrudisha Obama mstarini


 
Raisi Obama akifuatilia kwa makini Mdahalo uliowahusisha wagombea wawaili wa umakamu wa raisi Joe Biden wa democrats na Paul Ryan wa Republican. Vituo vingi vinaonesha kuwa Joe Biden ameshinda mahalo huo kwa kiwango kikubwa, kwa kuonesha utulivu mkubwa, kuchambua hoja kwa kina na kuwa na uso wa tabasamu kwa muda mrefu..Ni dhahiri shahiri ushindi huo umemrudisha Obama kwenye nafasi ya kutetea kiti chake baada ya kushindwa kwenye mdahalo wa awali na mgombea wa Republican bwana Mitt Romney.

No comments:

Post a Comment