Pages

Wednesday, December 12, 2012

Mike Tyson Sasa ni Michelle! Abadili Jinsia

 
Bingwa wa zamani wa uzito wa juu Mike "Iron" Tyson amesema anaendelea kujisikia vizuri baada ya operesheni ya kubadili jinsia yake kufanyika kwa mafanikio katika clinic ya Beverley Hills.
 
Bondia huyo mzaliwa wa Brooklyn, aliwahi kujulikana kama "mtu mbaya zaidi duniani" amewaambia waandishi wa habari kuwa amepata hedhi kwa mara ya kwanza na kwamba jambo hilo limetimiza ndoto yake, na sasa anapenda ajulikane kama Michelle Tyson.
 
"Baadhi ya watu wanaona ajabu kwa  mimi kuwa mwanamke" alisema Tyson ambaye aliwahi kuhukumiwa kwa kesi ya ubakaji. " katika kipindi chote cha upiganaji nilijulikana kama mpiganaji bora, na nilikuwa na ndoto ipo siku nitakuwa na matiti pamoja na uke" alibainisha Tyson.

No comments:

Post a Comment