Pages

Thursday, December 27, 2012

Taswira Maandamano na mkutano mkoani Mtwara kuhusu Gesi kutokusafirishwa

Kuna mkutano Mkubwa unaendelea hivi sasa katika uwanja wa Mashujaa. Wananchi wanakutana kujadili rasilimali ya Gesi, ambayo hawataki isafirishwe kwenda kuzalisha umeme eneo jingine la Nchi hii. Viongozi wa dini, wanachama wa vyama mbali mbali pia wapo hapa katika uwanja huu kujadili suala hilo.....na kuna kauli mbiu nzito inayosema "GESI KWANZA VYAMA BAADAE

Ujumbe katika bango
Moja ya jumbe ilisomeka hivi
Umati wa watu katika uwanja wa mashujaa
haya tena
maandamano

 

No comments:

Post a Comment