Ujumbe katika bango Moja ya jumbe ilisomeka hivi Umati wa watu katika uwanja wa mashujaa haya tena maandamano |
This blog will brings to you news, knowledge and skills of entrepreneurship and how to apply them towards conducting different enterprises.
Thursday, December 27, 2012
Taswira Maandamano na mkutano mkoani Mtwara kuhusu Gesi kutokusafirishwa
Kuna mkutano Mkubwa unaendelea hivi sasa katika uwanja wa Mashujaa. Wananchi wanakutana kujadili rasilimali ya Gesi, ambayo hawataki isafirishwe kwenda kuzalisha umeme eneo jingine la Nchi hii. Viongozi wa dini, wanachama wa vyama mbali mbali pia wapo hapa katika uwanja huu kujadili suala hilo.....na kuna kauli mbiu nzito inayosema "GESI KWANZA VYAMA BAADAE
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment