Pages

Sunday, July 1, 2012

SERIKALI KULETA MADAKTARI KUTOKA NJE YA NCHI-BILIONI 200 ZATENGWA KUWALIPA


Serikali imeamua kuagiza madaktari kutoka nchi za nje watakaochukua nafasi ya wale wa hapa nchini ambao wamegoma kuanzia mwishoni mwa wiki iliyopita. Habari kutoka katika moja ya vyanzo vya kuaminika zimesema kuwa uamuzi huo wa serikali ulipitishwa katika kikao cha Baraza la Mawaziri kilichokutana mjini Dodoma juzi chini ya uenyekiti wa Rais Jakaya Kikwete. Habari kutoka ndani ya kikao hicho zilidai kuwa Rais Kikwete alikerwa na tabia ya madaktari kupingana na serikali licha ya juhudi zote zilizofanywa kuboresha maslahi yao. Kwa mujibu wa habari hizo, kiasi cha sh bilioni 200 kimetengwa.....( source: www.mjengwa.blogspot.com)

No comments:

Post a Comment