Pages

Monday, July 23, 2012

Waziri wa mawasiliano na miundombinu ajiuzulu Zanzibar


Waziri wa Mawasiliano na Miundombinu mjini Zanzibar, Hamad Masoud amejiuzulu wadhifa wake baada ya kuwepo kwa shinikizo la kuachia ngazi lilitoka kwa wananchi.

Hatua hii imekuja kufuatia madai ya wananchi kuwa ajali za meli zimekuwa zikiongezeka mjini Zanzibar bila yeye kuchukua hatua.

www.mwananchi.co.tz

No comments:

Post a Comment