This blog will brings to you news, knowledge and skills of entrepreneurship and how to apply them towards conducting different enterprises.
Thursday, July 12, 2012
MBUNGE CDM AMSHTAKI Dr SLAA
Katika kile kinachoonekana kupunguza kasi ya CDM na kiongozi wake machachari Dr Wilbroad Slaa Mbunge wa viti Maalum wa chama hicho Rose Kamili amekwenda mahakamani kumshtaki Katibu mkuu wake Dr Wilbroad Slaa kwa kile anachopinga uhusiano wa Dr Slaa na mke wake mtarajiwa Josephine Mushumbusi.Katika hati ya mashtaka aliyo nayo Rose analalamikia kutelekezwa yeye na watoto wake wawili baada ya Josephine kuingilia ndoa yao.Anaiomba mahakama itamke uhusiano wa Dr Slaa na Josephine ni batili.
Kuna tetesi zimezagaa Rose Kamili amenunuliwa ili kuvuruga mikakati ya CDM kuiandama serikali ya CCM
Source:Tanzania Daima
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment