Pages

Monday, July 9, 2012

Chama cha madaktari chaomba ulinzi UN


Mchana wa leo, Jumatatu, Julai 9, 2012 Chama Cha Madaktari (MAT) kimewasilisha maombi ya ulinzi kwa Viongozi wake na Dkt. Ulimboka (mwanachama wao) kwa Uongozi wa Umoja wa Mataifa (UM). Nakala ya barua hiyo imepachikwa hapa.                                           

Source: http://www.wavuti.com           

No comments:

Post a Comment