Pages

Wednesday, July 4, 2012

TANZANIA: NCHI INAYOONGOZWA KWA NGUVU ZA MIGOMO


kila mahali utasikia kuna mgomo kule ama huku na kuna baadhi ya maeneo migomo ya wananchi haiwekwi wazi angalia baadhi migomo hii

•kigoma - wananchi wanagoma kupandishiwa ushuru ili hali huduma ni mbovu (RFA jana)

•Walimu wanajiandaa kugoma nadhani kesho wanaanza mgomo rasmi

•kisa cha madaktari kinajulikana

•Ndaga, Mbeya mgomo wa kupinga ongezeko la ushuru hii ilikuwa juzi tu

No comments:

Post a Comment