Edwini Chitage katibu wa jumuiya
madaktari.
Madaktari bigwa wagoma rasmi
wamesema hawawezi kufanya kazi peke yao na wako tayari kwa lolote na wamesema
liwalo na liwe. Hatuwezi kufanya kazi katika mazingira haya hatarishi na
magumu.
Wamedai Rais kapotosha umma na
wamehoji iweje rais asikilize hoja za upande mmoja?
Kwa habari zilizopo wagonjwa
hakuna na waliopo wodini wametelekezwa.
No comments:
Post a Comment