Pages

Friday, July 27, 2012

Misamaha ya kodi kwenye gesi NO- Mh Zungu


Mbunge wa Ilala na Mwenyekiti wa kamati ya bunge Mh Zungu, ameionya serikali kuhusu kuweka msamaha wa kodi kwenye gesi inyopatikana katika mikoa ya kusini.

Akichangia kwa hisia hotuba ya bajeti ya wizara ya nishati na madini, Mheshimiwa Zungu amesema gesi ni rasilimali ambayo itaipatia Nchi ya tanzania mapato ya kutosha ili kuondokana na tatizo la umaskini.

Mheshimiwa Zungu ameitaka serikali kutoa misamaha ya kodi katika sekta nyingine na wala si gesi, na kuionya kwamba endapo isipofanya hivyo bungeni hapatakalika.

Mkali
0688323837

No comments:

Post a Comment