This blog will brings to you news, knowledge and skills of entrepreneurship and how to apply them towards conducting different enterprises.
Friday, July 13, 2012
Mjasiriamali wa Matunda
Leo nlikuwa safarini kuelekea Lindi kikazi, wakati narudi nilisimama kumuungisha mjasiriamali aliyekuwa akiuza matunda..kikubwa kilichonifurahisha ni business name pamoja na advert yake..all in all hiki ndo kibanda anachopatia riziki...Wazo la kuweka kibanda hicho alipewa na Mh Membe kuepuka tatizo la kusubiria wateja barabarani.
Mkali
0719466466
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment