Kufuatia sakata la baadhi ya wabunge kushutumiwa kwamba wamekula mlungula ili wafanikishe kumuwajibisha waziri wa Nishati na madini na Katibu mkuu wa wizara hiyo, kwa kukiuka sheria za manunuzi ya umma, Nilimtweet Mheshimiwa Zitto Kabwe kuhusiana na kadhia hiyo., Ilikuwa hivi
Zitto Zuberi Kabwe
Spika ni vema aikubali hoja ya ndg. Vita Kawawa kwamba suala la tuhuma kwa baadhi ya wabunge kuhongwa na #tanesco lijadiliwe mahususi >>
Mkally Mlanzi
Zitto Zuberi Kabwe@zittokabwe
Zitto Zuberi Kabwe@zittokabwe
>> kwenye mjadala mahususi ushahidi utatolewa na watuhumiwa kujieleza. Vinginevyo hizi ni siasa tu zenye malengo Maalumu dhidi ya mtu fulani
Mheshimiwa Zitto aliendelea kutweet kwa kumquote Nguli wa mashahiri wa kiswahili Shabani Robert akionesha kushikilia msimamo wa yale anayoaamini.
Zitto Zuberi Kabwe@zittokabwe
Shabaan Robert alisema, "msema kweli huchukiwa na rafiki zake, sitaona wivu juu ya wale wapendwao na marafiki zao siku zote,">>
Zitto Zuberi Kabwe@zittokabwe
>> 'siwezi kuikana kweli kwa kuchelewa upweke wa kitambo, nikajitenga na furaha ya kweli itakayotokea pale uwongo utakapojitenga.
Jumamosi njema wadau.
Mkali- 0688323837
No comments:
Post a Comment